Back

Teaching, Nurturing & Training

Curriculum in use.

We follow Tanzania national curriculum for the following Subject:  Islamic Knowledge, Arabic, English, Kiswahili, Physics, Chemistry, Mathematics, Geography, Biology, History, Civics, Bookkeeping, Commerce and Computer Studies.

We have currently open 2024 for Advanced learning (From Five and Six) with six combination  PCB, PCM, EGM, ECA, HGL and HGE

Moral curriculum.

Our school’s main priority is the parenting approach, which gives emphasis on supporting and promoting physical, emotional, social, spiritual and intellectual development of our children by following Islamic principles.

Kila sifa njema ni za Allah pekee Mola mlezi wa viumbe vyote, na Rehma na amani zimfikie Mtume wetu Muhammad (s.a.w), pamoja na swahaba zake, na wale wote wanaofuata mwenendo wake, mpaka siku ya Kiyama.

Kama tujuavyo, shule ya Ihsan ni shule ya Kiislam ambayo imejidhatiti kuelimisha na kuwanoa vijana katika taaluma ya darasan na nje ya darasa. katika kuyatimiza lengo hilo, tumeweka utaratibu wa kuyafikia malengo hayo kupitia Muhsasari Muhtasari wa somo la Tarbia (malezi) kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha nne, ambao umetokana na fani zifuatazo:

Extracurricular activities, Socio-economic services

Beyond the subjects listed above our students are engaged in;

  • Karate/ Taekwondo Debating 
  • Quran studies (Reciting, memorization and meaning competencies)  
  • Clubs  
  • Sports and games  
  • Sacrifice and volunteering in community work

Social and economic services available include reliable transport, water, electricity and dispensaries.